Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete na rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar Dk Ally Mohamed Shein wamekabidhiwa katiba iliyopendekezwa na bunge maalum la katiba ikiwa ni hatua muhimu katika historia ya Tanzania kuelekea kupata katiba mpya ambayo kwa mara ya kwanza imehusisha maoni ya wananchi, makundi maalum, taasisi wanasiasa na viongozi mbalimbali tangu taifa kupata uhuru wake.
Majira ya saa sita na nusu mchana ndipo makundi mbalimbali ya wageni waalikwa, viongozi wa juu wa serikali mabalozi marais na mawaziri wa kuu wastaafu wakaingia katika viwanja vya jamuhuri na kisha majira ya saa tisa na nusu rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar Dk Ally Mohamed Shein akawasili na kufuatiwa na rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Majira ya saa sita na nusu mchana ndipo makundi mbalimbali ya wageni waalikwa, viongozi wa juu wa serikali mabalozi marais na mawaziri wa kuu wastaafu wakaingia katika viwanja vya jamuhuri na kisha majira ya saa tisa na nusu rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar Dk Ally Mohamed Shein akawasili na kufuatiwa na rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.


No comments:
Post a Comment