Friday, 1 November 2013

THE COCKTAIL PARTY ON THE 50 YEARS ANNIVESARY OF TANZANIA MAINLAND`S INDEPENDENCE AT THE STATE HOUSE DAR ES SALAAM


Makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. Mohamed Gharib Bilal alipokutana na mwenyekiti wa-CCM tawi la Moscow Urusi Bwana Salim Amani Mfungahema IKULU jijini Dar es Salaam kwenye mahafari ya kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Tanzania Bara. Dr. Salim A. Mfungahema ambae pia ni mwanafunzi wa fani ya Udaktari Chuo Kikuu Lumumba alialikwa nchini Tanzania kuhudhuria mahafari ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara. Pamoja na mambo mengine Dr. Mfungahema alitumia nafasi hiyo kulitambulisha rasmi tawi CCM MOSCOW kwa  mwenyekiti wa CCM Taifa Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh Dr Jakaya Mrisho Kikwete ikiwa ni pamoja na kuelezea changamoto mbalimbali zinazorikabili tawi hilo.

PICHA NA KATIBU WA TAWI
HASSAN H. KAPILIMA

CCM-MOSCOW-URUSI

 

No comments:

Post a Comment